Ziyarat-e-Arbaeen

4.6
Maoni 94
elfu 10+
Vipakuliwa
Daraja la maudhui
Miaka 3 kwenda juu
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini
Picha ya skrini

Kuhusu programu hii

Ziyarat-e-Arbaeen

Kwa mujibu wa Imamu Hasan bin Ali Al Askari (as) Dalili za Muumini wa kweli ni tano:-
1) Soma Rak-a’t 51 katika masaa 24 ya mchana (Rak-a’ts 17, + 34 Rak-a’ts katika Swala za Naafilah).

2) Kuwa Karbala kwa Ziyarat ya Imam Husayn (as)/mashahidi wengine, au angalau soma Ziyarat ya Mtukufu Imam kama ilivyotolewa.

3) Kuvaa pete katika mkono wa kulia.

4) Kuweka paji la uso juu ya ardhi (ikiwezekana ardhi ya Karbala) kwa kusujudu.

5) Kutamka “Bismillahir-Rah’maanir-Rah’iym” kwa sauti safi na kubwa wakati wa kuswali swala.
Ilisasishwa tarehe
14 Sep 2022

Usalama wa data

Usalama huanza kwa kuelewa jinsi wasanidi programu wanavyokusanya na kushiriki data yako. Faragha ya data na mbinu za usalama zinaweza kutofautiana kulingana na matumizi yako, eneo ulilopo na umri wako. Msanidi programu ametoa maelezo haya na anaweza kuyasasisha kadiri muda unavyopita.
Hakuna data inayoshirikiwa na wengine
Pata maelezo zaidi kuhusu jinsi wasanidi programu wanavyobainisha kushiriki data
Hakuna data iliyokusanywa
Pata maelezo zaidi kuhusu jinsi wasanidi programu wanavyobainisha ukusanyaji wa data

Ukadiriaji na maoni

4.6
Maoni 91

Usaidizi wa programu

Zaidi kutoka kwa Azadari