Kwa maono ya kuweza kutangaza injili ya Yesu Kristo kwa watu, kuleta habari njema ya wokovu, uhuru kwa wafungwa na uponyaji kwa wagonjwa. Kuhubiri kulingana na moyo wa Mungu kupitia maandiko matakatifu. Kumpendeza Mungu nyakati zote na kila wakati kwa Utukufu wa jina lake.
Ilisasishwa tarehe
19 Sep 2024