Hapa utajifunza faida za matunda mbalimbali, pamoja na virutubisho vilivyomo kwenye matunda hayo. Pia utajifunza faida za mboga na virutubisho vilivyomo kwenye mboga hizo.
Utajifunza pia namna ya kuchaguwa tunda na mboga za majani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.