Jufunze Dua na Adhkari alizokuwa akitumia Mtume Muhammad yeye na Sahaba zake katika nyakati tofautitofauti. Hapa utazisoma dua Nyingi zaidi ya 500.
1. dua ya kuamka 2. Dua ya kulala 3. dua ya kujikinga na wachawi 4. Dua ya kujikinga na majini na mashetani 5. Dua ya kuwaombea wazazi 6. Dua ya kuingia msikitini 7. Dua za kuswalia 8. kumswalia Mtume 9.Dua za pindi upepo unapovuma 10. Dua za kuingia chooni 11. Dua pindi unapokutana na adui 12. Dua ya maharusi 13. Dua za kuombea haja mbalimbali 14. Dua za kuomba kheri duniani 15. Dua ya Dua ya kutoka chooni