Sahih Muslim (Kiarabu: صحيح مسلم , Ṣaḥīḥ Muslim; jina kamili: Al-Musnadu Al-Sahihu bi Naklil Adli) ni mojawapo ya Kutub al-Sittah (mkusanyo sita wa hadithi kuu) katika Uislamu wa Sunni. Inasifiwa sana na Waislamu wa Kisunni pamoja na Waislamu Zaidi wa Shia.[inahitajika] Inachukuliwa kuwa mkusanyo wa pili wa hadithi sahihi baada ya Sahih al-Bukhari. Ilikusanywa na Muslim ibn al-Hajjaj, anayejulikana pia kama Imam Muslim. Sahih Muslim, pamoja na Sahih al-Bukhari inaitwa Sahihayn.
Ilisasishwa tarehe
30 Mac 2022