Katika Darasa hili utajifunza mambo mengi kuhusu afya yako. hapa utajifunza kuhusu:-
1. Afya kwa ujumla
2. Utunzaji wa afya yako
3. Maradhi na jinsi ya kujikinga nayo
4. Utoaji wa huduma ya kwanza
5. Faida za matunda na mboga
6. Maradhi mbali bali na dalili zake
7. Kuhusu vyakula, na aina zake
Na mengine meng utaweza kujifunza kwa lugha tahisi ya kiswahili.
Ilisasishwa tarehe
21 Apr 2024