Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho

Kanisa la Mwenyezi Mungu
Ebook
1243
Pages
Eligible

About this ebook

Chaguzi zilizo katika kitabu hiki zote ni maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho, zilizochukuliwa kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili. Ni ukweli ambao kila mtu anayetafuta na kuchunguza kazi ya Mungu katika siku za mwisho anahitaji haraka kupata, zilichaguliwa ili kuwawezesha wale wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu waisikie sauti Yake haraka iwezekanavyo. Maonyesho ya Mungu katika kitabu hiki ni yale ambayo Roho Mtakatifu anayanena kwa makanisa kama ilivyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo. Maneno haya ya sasa ya Mungu ni ushuhuda bora wa kuonekana Kwake na kazi Yake, na vile vile ushuhuda bora wa ukweli kwamba Kristo ndiye njia, ukweli na uzima. Tunatumaini kwamba wote wanaosubiri kuja kwa Bwana na wanaotazamia kuonekana kwa Mungu na kazi Yake wataweza kusoma kitabu hiki.

Injili ya Kushuka kwa Ufalme: https://sw.kingdomsalvation.org/

Kanisa la Mwenyezi Mungu: https://sw.godfootsteps.org/

YouTube: https://l.kingdomsalvation.org/sw/video

Facebook: https://l.kingdomsalvation.org/sw/facebook

Email: contact.sw@kingdomsalvation.org

Rate this ebook

Tell us what you think.

Reading information

Smartphones and tablets
Install the Google Play Books app for Android and iPad/iPhone. It syncs automatically with your account and allows you to read online or offline wherever you are.
Laptops and computers
You can listen to audiobooks purchased on Google Play using your computer's web browser.
eReaders and other devices
To read on e-ink devices like Kobo eReaders, you'll need to download a file and transfer it to your device. Follow the detailed Help Center instructions to transfer the files to supported eReaders.