Uthibitishaji wa Wasanidi Programu wa Android ni huduma ya mfumo wa Google inayowalinda watumiaji kwenye vifaa vya Android vilivyothibitishwa kwa kuthibitisha utambulisho wa wasanidi programu zilizowekwa kutoka kwenye intaneti. Kwa kuhakikisha kuwa kila programu imeunganishwa na msanidi programu aliyethibitishwa, huduma hii hutoa kiwango muhimu cha usalama kwenye kifaa chako.
Ilisasishwa tarehe
7 Jul 2026